Monday, May 25, 2026
Home Authors Posts by vunjambavu

vunjambavu

575 POSTS 2 COMMENTS

Jeuri Mbaya

15
Ukiwa jeuri, kuna jeuri zaidi yako. Juzi nilikuwa kwenye daladala natokea Kariakoo naelekea Ubungo. Tulipofika Manzese konda akauliza, Konda: Kuna mtu ana shuka? Dada mmoja akajibu, Dada:...

Nani Mjanja?

5
Mtanzania na Mkenya walienda super market kuangalia kama wanaweza kununua vitu. Baada ya kutoka Mkenya akawa anajigamba kwamba Wakenya ni wajanja sana kuliko Watanzania...

Wanaume Wengi Wacheza Soka Watasubiri Sana Hapa!

0
  Pengine kumekuwa na kiburi na kejeli nyingi kwamba wanawake wa Tanzania hawawezi kucheza mpira wa miguu yaani kabumbu maarufu kama soka. Hakika jambo hili...

Fumbalo – Sehemu Ya Tatu

0
Maneno mengi sana yalisemwa kadri siku zilivyokuwa zikizidi kukatika, kila mtu alikuwa anatoa hadithi yake kwa jinsi akili zake zilivyokuwa zinamtuma. Wapo ambao walimlaumu...

Waganga Nomaa Kweli!!!

0
// //

Siri Ya Maendeleo Ya Watanzania

0
Kama Tanzania ingekuwa ni nchi ya wachagga pekee, leo hii Tanzania ingekuwa zaidi ya Ulaya. Mchagga mmoja alipata ajali mbaya sana ya gari iliyompelekea...

Video Mpya ya Quick Rocka ft Ngwair & Shaa – My...

0
Hakika Albert Mangwea atakumbukwa sana kwa uwezo wake, angalia video hii pia uone kilichopungua!!!! Bofya Hapo Chini Kuangalia Video Hii // // Peruzi Hapa: Video Mpya:...

Umewahi Kukata Tamaa Maishani?? Angalia Video Hii

0
Byofya Hapo Chini Kuangalia Video Hii // // Peruzi Hapa: Umewahi Kukata Tamaa Sababu Ya Vile Ulivyo?Angalia Video hii Utamshukuru MUNGU Kwa Vile Ulivyo

Usithubutu Kupuuza Ujumbe Wowote!!

0
Unajua tabia ya kupuuza ujumbe ni mbaya sana. Siku moja jamaa mmoja alikuwa mahututi na akawa amelazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum yaani...

Gesi Ya Mtwara Yazua Balaa

0
Bibi mmoja kutoka Mtwara alikuwa anasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sana! Baada ya miaka kadhaa ya mateso huyo bibi, hivi majuzi tu alipata...
25,671FansLike
- Advertisement -

EDITOR PICKS