vunjambavu
Mbwa Msomi
Mbwa koko wawili walikuwa jalalani wanaokota makombo ya vyakula. Hilo jalala lipo karibu na barabara. Ghafla likapita gari la FFU likiwa limepakia mbwa wa...
Video inayoonyesha A To Z ya Mkutano Wa Chadema Uliopigwa Bomu-Arusha
Hii ni video ya saa moja, dakika thelathini na moja na sekunde kumi na nane! Unaweza kuangalia mwenyewe!
Peruzi Hapa:Video inayoonyesha A To Z ya...
Chizi Apiga Simu Milembe!
Chizi mmoja alipiga simu milembe na mazungumuzo yao yalikuwa hivi;
CHIZI : Helo!! Hapo ni milembe?
MAPOKEZI : Ndio nikusaidie nini?
CHIZI : Naomba uniangalizie chumba namba...
Tamasha La Matumaini 2013 | Halima Mdee Ajifua Kumkabili Jacqueline Wolper...
Katika kunogesha na kulitia chachandu lile Tamasha la Matumaini ambapo mwaka jana mwanadada, shemeji yetu Wema Binti Sepetu alipeperusha mizuka ya watu mara baada...
Usiende Baa na Mkeo, Mwiko!!!
Jamaa mmoja aliamua kumtoa ‘out’ mke wake kwa kumpeleka baa kwa mara ya kwanza kabisa. Haikuwa kawaida yake kwenda baa na mkewe kwani mara...
Njia ya Mwongo Ni Fupi
Wanafunzi watatu wa shule fulani ya bweni walitoroka usiku bwenini wakaenda disko kucheza muziki. Disko likawanogea wakarudi asubuhi na kwa bahati mbaya zaidi wakachelewa...
FUMBALO – Sehemu Ya Pili
Sehemu Ya Pili
Mtunzi: Baraka Oscar
info@vunjambavu.com
Kama kawaida yake, Gadau alipiga jaramba kwa kuzunguka uwanja mara tano kwa kasi kabla ya kujumuika na wachezaji wenzake kwa...
‘Mtoto wa Mkulima’ Ahalalisha Kipigo
Mzee vipi? Je, wananchi wakiamua nao kupigana???? Mzee umechemka, hata kama ndio sera ya chama hukupaswa kuimwaga hadharani!!! Ni jokes tu haya hayajatokea na...
Chizi Fundi Magari
Siku moja katika hospitali ya machizi, daktari alimkuta mmoja wa machizi hao akiwa uvunguni mwa gari. Alionekana akilikagua kwa makini sana lile gari. Yule...
