Monday, May 25, 2026
Home Authors Posts by vunjambavu

vunjambavu

575 POSTS 2 COMMENTS

Tapeli Anayetumia Jina La Jokate Mwegelo FB Akamatwa Na Polisi.

0
Angalizo, kwa kujenga imani toka kwa mashabiki, nawashauri watu wote maarufu Tanzania kama hawana akaunti kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, twitter na mingineyo,...

Baada Ya Obama Kuondoka, CNN Yaendelea Kuipaisha Tanzania, Safari Hii Ni...

0
Katika kile kinachosemwa ni kuipa promo Tanzania, ujio wa Rais Obama umeifanya Tanzania iwe midomoni mwa watu wengi sana duniani kwa takribani mwezi mzima...

Mazingaombwe Mtupu! | Unaweza Kuyaweka Maji Tumboni Na Kuyatoa?

0
Umewahi kushuhudia watu wakifanya mambo ambayo huonekana kama ni viini macho? Kama bado hebu shuhudia hii video! Kijana huyu kaonyesha kipawa chake cha kunywa...

Rais Morsy Wa Misri Atimuliwa, Jeshi Laibeba Nchi, Laiweka kando Katiba!

0
Hatimaye yametimia kwani Rais wa Misri katimuliwa madarakani baada ya wananchi kufanya maandamano yasiyo na ukomo ikiwa ni miezi michache imepita tangu achaguliwe kama...

Tanzania Si Nchi Masikini!

0
Tanzania imekuwa ikitajwa kama moja ya nchi masikini zaidi duniani kwa miaka kadhaa sasa. Lakini upepo naona umebadilika kwani takwimu za hivi karibuni zinaonyesha...

“Kama Baba Yako Angekuwa Shoga, Usingekuwa Rais Wa Marekani Leo Hii”

0
Akiwa  nchini  Senegal,Rais  Obama  alinukuliwa  na  vyombo  vya  habari  akiyasisitiza  mataifa  ya  afrika  kuhusu  kutambua  uwepo  wa  MASHOGA  na  kwamba  haki  zao  za  msingi ...

Uchoyo Ukifikia Kiwango Hiki, Bora Kufa!

0
Mama mmoja alikuwa anapika chakula sebuleni si unajua tena nyumba zetu za kupanga hizi sebule na jiko na chumba cha kulala vipo sehemu moja;...

Hakuna Ishara Ya VVU Kurudi Katika Ute Wa Mifupa Ya Wagonjwa...

0
Watu wawili ambao walikuwa na maambukizi ya VVU kwa muda mrefu wamesitisha kutumia dawa ya Ukimwi na hawana VVU  katika damu yao. Hii ni...

Aliyepiga Hii Picha Ni Fundi

0
Hongera kwa aliyepiga hii picha; ziara ya Obama nchini Tanzania ilivuta hisia za wengi duniani kote. Wapo aliohoji Obama kafata nini Tanzania? Wapo aliohoji...

WHO Yashauri Namna Ya Kupunguza Vifo Vinavyosababishwa na Ukimwi

0
Shirika la afya dunian WHO limetoa ushauri wa kupunguza vifo vinavosababishwa na UKIMWI kwa kuwashauri waathirika waanze kutumia dawa mapema zaidi wakiwa bado wana...
25,671FansLike
- Advertisement -

EDITOR PICKS