Home Vioja Rais Morsy Wa Misri Atimuliwa, Jeshi Laibeba Nchi, Laiweka kando Katiba!

Rais Morsy Wa Misri Atimuliwa, Jeshi Laibeba Nchi, Laiweka kando Katiba!

311
0

Hatimaye yametimia kwani Rais wa Misri katimuliwa madarakani baada ya wananchi kufanya maandamano yasiyo na ukomo ikiwa ni miezi michache imepita tangu achaguliwe kama Rais wa Misri baada ya kuondolewa kwa Rais Mbaraka. Aidha Morsy amekuwa akishutumiwa tangu awali kwamba tangu aingie madarakani alikuwa akitengeneza mazingira ya kuwa mfalme na si Rais, walisikika wakilalamika baadhi ya wananchi.


Rais Morsy Wa Misri Atimuliwa

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here