Home Mbavu Zangu Mbwa Msomi

Mbwa Msomi

553
0

Mbwa koko wawili walikuwa jalalani wanaokota makombo ya vyakula. Hilo jalala lipo karibu na barabara. Ghafla likapita gari la FFU likiwa limepakia mbwa wa polisi. Wale mbwa koko walipoona, mmoja akalitazama kwa uchungu sana lile gari kisha akamwambia mwenzie,

Mbwa koko wa kwanza: Ona kule!

Mbwa koko wa pili: Nione nini?

Mbwa koko wa kwanza: Wewe huwaoni wale wenzetu waliosoma sasa hivi wanaenda kazini!

**********