Home Simulizi Jiandae kusoma riwaya hii hapa hapa; ‘FUMBALO’

Jiandae kusoma riwaya hii hapa hapa; ‘FUMBALO’

490
0

Katika siku za hivi karibuni, kwa wale wapenzi wa riwaya na hadithi za kusisimua wajiandae kusoma riwaya ya kusisimua inayoitwa FUMBALO. Mtunzi ni Baraka Oscar, mtunzi mahiri na chipukizi wa riwaya aliyeamua kufunguka na bila shaka utapenda simulizi zake. Simulizi hii inazungumzia maisha, namna mtu anavyoweza kujitoa mhanga kwa ajili ya anaowapenda kwa kufanya mambo magumu sana kiasi kwamba haiwi msaada tena kwa wale anaowapenda, inakuwa ni msalaba wa kudumu katika maisha yake na ya wapendwa wake!

Ni nini kinachopelekea yote haya kutokea? Kwa ufupi, FUMBALO ni HIRIZI.  Imefanyaje hiyo hirizi? Majibu yatapatikana hapahapa!Kaa mkao wa kula! Kitu kipo jikoni!

USIKOSE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

**********


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here