vunjambavu
Usiombe Ukabanwa Na Haja Kubwa Halafu Choo Cha Wote
Katika mambo ambayo huwa yanawatoa akili watu ni kuogopa kujisaidia katika ngguo zao kwa sabu kinyesi au mkojo ni uchafu na mara utakavyofanya hivyo...
Facebook Na Majanga Yake | ‘Stori’ Ya Kweli
Kumekuwako tabia ya walio wengi kuweka taarifa zao muhimu katika 'kitabu cha uso' yaani facebook na kujaribu kuonyesha kila hatua ya maisha yao. Kiukweli...
Katikati Ya Sherehe | Mtu Anakukata ‘Stimu’
Nyani ni viumbe ambao wanafanana sana na wanadamu. Viumbe hawa hufanana kwa maumbile kwa asilimia kubwa na kasoro yao kubwa ni mkia na manyoya....
Hujui Mambo Mazuri Wewe | Shekhe Huyu Anayajua
Shekhe mmoja wakati akitoa muhadhara kwa waumini wake alijikuta akimwaga mchele kwenye kuku wengi kwa kuthibitisha dhahiri bila shari kwamba yeye anapenda mijimama iliyonona!...
Muhimbili Yauguzia Wagonjwa Nje!
Kwa kile kinachoelezwa kupisha zoezi la upulizwaji wa madawa ya kuua wadudu na mazalia yake katika wodi za wagonjwa za Kibasila na Mwaisela, hospitali...
Pombe Na Mbingu
Mchaga mmoja cha pombe alipanda kipanya (hiace) ili impeleke alikokuwa anaelekea katika shughuli zake za ulevi ambazo kwake ni kawaida kuifata pombe pahala popote...
Unapenda Kuwa Bodigadi? | Chukua Hii
Kuwa mlinzi wa mtu fulani kuna watu wengi huona fahari kuwa hivyo lakini hii kazi ni utumwa mkubwa kupita ule wa mkoloni! Najua wapo...
Zuzu Ni Zuzu Tu!
Mazuzu wawili walikuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu sana; zuzu la kike na la kiume. Baada ya purukushani za hapa na pale,...
Je, Kuna Haja Ya Tanzania Kutoa Majeshi Yake Kulinda Amani?
Hawa ni baadhi ya askari wa Tanzania walijeruhiwa Darfur wakipata matibabu.
Kuna wakati unaweza ukajiuliza maswali, hivi ni kweli Tanzania tuhahitaji kuendelea kupigana vita ya...
FUMBALO – Sehemu Ya Sita
Mtunzi: Baraka Oscar info@vunjambavu.com
Kitendo hicho kilimtenga zaidi na jamii yake kwani alijikuta anajinyanyapaa na kunyanyapaliwa pia na wanakijiji wenzake. Baada ya mkutano taarifa zilimfikia...

