Si jambo baya kuonyesha ubunifu wa jambo fulani pale inapobidi. Na ikitokea si vibaya mbunifu akapewa heshima yake kwa kile alichokifanya.
Hii video inajaribu kuonyesha namna mbongo huyu alivyounganisha wimbo wa Mzee Yusuph wa Alamba na watu fulani ambao walikuwa wanazikiri tu!
Angalia Video Yake!



Jaman mbona ninakosa uhondo hivyo cm yang inazingua