Home Vichekesho Je, Watoto Wa Umri Wetu Wanaweza Kushika Mimba?

Je, Watoto Wa Umri Wetu Wanaweza Kushika Mimba?

363
0

watoto-darasani

Dunia inakimbia sana na watoto wadogo wamekuwa wakijifunza mambo makubwa sana. Dogo mmoja wa darasa la pili aliona michezo michafu katika mabanda ya kuonyesha filamu ambayo yapo tele na haya udhibiti huko uswahilini kwetu.


Yule dogo akataka kufanyia majaribio kile alichokuwa anakiona na akaamua kumshawishi binti mdogo mwenzie waliokuwa wanasoma darasa moja. Yule binti akawa anakataa na akatoa sababu zake alizokuwa ameambiwa juu ya madhara ya hicho kitendo. Basi kwa kuondoa wingu la utata yule dogo wa kiume wakiwa darasani akaamua kumwuliza mwalimu wao.

Mwanafunzi wa Kiume: Eti, mwalimu. Watoto wa umri wetu wanaweza kuzaa?

Mwalimu: Hapana, mtoto kama wewe huwezi kuzaa mtoto.

Yule dogo akamgeukia mwanafunzi mwenzie yule wa kike na kumwambia.

Mwanafunzi wa Kiume: Unaona!! Nilikwambia huwezi kushika mimba, aliyekwambia kwamba utapata mimba kakudanganya tukitoka twende tukafanye.

Hawa ndiyo aina ya watoto tulionao sasa hivi.

**********


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here