
Mwezi mmoja ushapita tangu harusi, mume na mke wote hawajui namna ya kutafuta mtoto. Wakatafakari kwa kina mume akaamua kwenda na mkewe kumwona tabibu. Akamweleza shida yao na tabibu akaamua kutoa maelekezo. Alitumia picha na michoro lakini wanandoa hao wakawa kama hawamwelewi.
Ikabidi atumie mkanda wa video wa watu wanaofanya mapenzi lakini jamaa akawa haelewi ni namna gani hicho kitu kinatokea. Tabibu bila hiyana akampandisha kitandani mke wa jamaa na kumsaula nguo zote kisha akaanza kumpa mambo mbele ya mumewe.
Baada ya kichapo kikali kilichomwacha yule mwanamke taabani, yule tabibu alishuka kitandani huku anavaa nguo zake na kumwambia yule jamaa;
Tabibu: Umeona kazi unayotakiwa kuifanya kila siku?
Mume: Duh! Nimeona, asante sana dokta. Kwa hiyo niwe namleta mara ngapi kwa wiki?
Mke: Nilete kila siku ili tupate mtoto haraka!
**********




Mg