Home Vichekesho Wanafunzi Wa Kisasa Ni Vituko

Wanafunzi Wa Kisasa Ni Vituko

1653
0
wanafunzi wa kisasa

Wanafunzi Wa Kisasa Ni Vituko

akili ni mali

Mwalimu mmoja aliamua kutoa ofa kwa wanafunzi wake kama mbinu ya kuongeza uwajibikaji wawapo darasani.

Alikuwa anataka kuhakikisha kila mwanafunzi anaelewa na anajibu maswali atakayomwuliza ipasavyo. Sinema hii ilianza kama ifuatavyo:

Mwalimu: Atakayekuwa wa kwanza kujibu swali langu anaenda nyumbani mapemaaaaaaaaaaaaaa!

Mwanafunzi mmoja anayefahamika kwa jina la Yohana, akatupa begi lake nje kupitia dirishani!

Mwalimu: Ni nani aliyerusha begi la madaftari nje?

Yohana: Ni mimi mwalimu! Kwaheri tutaonana kesho!

😀  😀   😆   😆

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here