Home Vichekesho Siku Za Mwizi Ni Arobaini

Siku Za Mwizi Ni Arobaini

419
0

nyama

Siku za mwizi ni arobaini. Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya udokozi sana huko Tarime. Siku moja jamaa alivunja mlango na kuingia kwenye nyumba moja. Akaingia stoo akaona vinyama vikiwa kwenye bakuli vimekaushwa. Akaonja kimoja akaona kitamu na kina chumvi chumvi!

Jamaa akaamua kuvila vyote na alipomaliza kuvila akaangalia mlangoni akaona maandishi, “TOHARA KWA WANAWAKE!”Unafikiri jamaa atakuwa alikula nini?

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here