Haya Ni Mauaji Ya Kutisha
Taarifa za hivi punde zinzsema, kuna mauaji ya kinyama yametokea huko Mbezi beach karibia na Hotel moja ya kitalii ambapo mke na mume wanyongwa mpaka kufa. Sababu hazijaelezwa ila wadadisi wa mambo wanadai ni kutokana na siri kubwa iliyokuwa baina yao baada ya kugundulika.
Inasemekana siri hiyo ilihusisha mtoto, kwani baba wa mtoto alikuwa analea mtoto ambaye watonyaji walimtonya kuwa si wake. samahani kwa picha MbAyA zilizo chini hapo. Jitahidini kuangalia labda mtawatambua hawa marehemu. Samahani sana kwa picha za kutisha!
