Home Vioja Moja Ya Maajabu Ya Zanzibar!

Moja Ya Maajabu Ya Zanzibar!

423
2

Padri-Zanzibar

Padri Anselmo Mwang’amba baada ya tukio la kumwagiwa tindikali.

“Zanzibar ndiyo sehemu pekee yenye mashoga wengi (homosexuals) wanaotembea kwa uhuru mkubwa mitaani wakati viongozi wa dini wanaishi na kutembea kwa mashaka. Dunia imebiduka chini juu na juu chini! …..” Na Edo Kumwembe


Inawezekana ikawa ni kauli nzito na ngumu sana kuielewa lakini hivyo ndivyo vioja vya Zanzibar visiwa vya marashi. Maisha ya viongozi wa dini yapo hatarini kuliko maisha ya mashoga na makahaba ukizingatia kisiwa hicho ni chenyekuaminika kuwa na wakazi wanaoshikilia sana dini!

Haya yamewahi kutokea pia miaka kenda miaka rudi, Wayahudi walitaka Baraba aachiwe huru yule mwuuaji wa watu na mharifu aliyepindukia lakini Masihi asulubiwe! Tanzana zaidi ya uijuavyo hakika ni zaidi ya vunjambavu!

**********

          



2 COMMENTS

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here