Kuna wakati ni vigumu kuelewa uwezo na nguvu alizokuwanazo Kiongozi wa Kiimla Idd Amin! Licha ya yote aliyokuwa amesifika kuyafanya lipo jambo ambalo ni la kihistolia zaidi pale alipowaapisha Waingereza waliokuwa wakiishi Uganda kwamba waape kuilinda Uganda dhidi ya maadui.
Picha hii inaonyesha kielelezo hicho ambacho huwa hakikumbukwi sana na Waingereza! Nanukuu kiapo hicho, “We do solemnly swear (affirm) that Great Britain will support and defend Uganda against all enemies, foreign and domestic. Also, Great Britain will bear true faith and allegiance to Uganda and we will obey the orders of the President of Uganda (Idi Amin)!”
