Kupata watoto ni jambo la heri sana na mibaraka kwa Mungu. LAkini majukumu yanapotuzidi maisha ya watoto wetu huwa mikononi mwa kina dada wa kazi, mayaya au walezi wa watoto. Sio kila yaya ni mlezi mwangalizi mzuri wa watoto wako. Na kwa sababu ya mkasa huu ambao unasemekana ulitokea Uturuki huku ukimwacha mshatikiwa akihukumiwa kwenda jela kwa miaka 46! Ona unyama huu waliofanyiwa hawa watoto! Hakika kuna umuhimu wa kuwa na CCTV nyumbani kwako!
Video Hii Hapa

