Home Video Enzi Zetu Bana | Ulikuwa Bado Hujazaliwa

Enzi Zetu Bana | Ulikuwa Bado Hujazaliwa

478
0

Muziki ni tiba kubwa sana ya moyo na akili. Watu wengi wamekuwa wakitumia muziki katika kuponya misongo ya mawazo au kuponya mioyo iliyosononeka kwa sababu mara zote muziki huzungumza na akili, moyo na mwili wa mwanadamu. Unaweza piga makelele mbele ya mtoto mchanga na akalia lakini ukimpigia muziki si ajabu ukamwona anatikisa miguu na mikono.

Muziki wa kale una sifa kubwa mbili, kwanza ni ule mpangilio wa mashairi yenye mvuto na pili ni ile aina ya uchezaji wake. Watu wa kale wamekuwa wakicheza muziki kwa mitindo fulani fulani ya kipekee sana. Huu ni moja ya mitindo hiyo ya kipekee sana. Hebu twambie, huu ni mtindo gani? Funguka wewe wa kale!


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here