Home Vichekesho Duh! Ya Mugabe Siyawezi, Huyu Ndiyo Simba Wa Afrika!

Duh! Ya Mugabe Siyawezi, Huyu Ndiyo Simba Wa Afrika!

383
0

Kuna nchi ambazo zinamwona Mugabe, Rais wa Zimbabwe kama kiongozi wa kiimla na asiyekubali mabadiliko. Robert Mugabe mwenye umri wa miaka 89 ambaye hivi karibuni ameshinda kwa mara nyingine tena nafasi yake ya Urais amekuwa akinukuliwa kwa misemo yake yenye utata mkubwa sana.

Amekuwa akiyashambulia kwa wazi kabisa viongozi wa mataifa ya magharibu hasa wanapojaribu kuhoji uhalali wake wa kuiongoza Zimbabwe. Yafuatayo ni baadhi ya matamko aliyowahi kuyatoa alipohojiwa na baadhi ya wanahabari;

Baada ya kushinda uchaguzi

Mwandishi: Mr President, don’t you think 89 years old would have a great time to rest and retire? (Mweshimiwa Rais, huoni kwa umri wako wa miaka 89 ni wakati mwafaka wa kupumzika na kuachana na kazi?)


Mugabe: Have you ever asked Queen Elizabeth this question or it is just for African leaders? (Umewahi kujaribu kumwuliza swali hili Malkia Elizabeth au swali lako ni kwa ajili ya viongozi wa Kiafrika tu?)

Mwandishi: Thanks…. Goodmorning (Asante……habari za asubuhi!)

Mwandishi mwingine akauliza;

Mwandishi: When will you say goodbye to the people of Zimbabwe? (Lini utawaambia kwa heri wananchi wa Zimbabwe?)

Mugabe: Where are they going? (Kwani wanaenda wapi?)

**********






LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here