Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye christmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/=
- Vitunguu swaumu 2000/=
- Vitunguu maji 1000/=
- Iliki 1000, Magome 1000/=
- Mchele wa 2000/=
- Soda 3000/=
- Nyama 5000/=
Fedha hizi zitatumika kununua mfuko wa cement ili tuanze kujaza kibubu cha ujenzi wa nyumba badala ya kupanga. Karibuni saana maji ya kunywa tumechemsha ndoo nzima.
Marry Christmas & Happy new year.

