Tag: Christmas
Christmas Mwaka Huu Ni bana Matumizi
Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye christmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/=
Vitunguu swaumu 2000/=
Vitunguu maji 1000/=
Iliki 1000, Magome 1000/=
Mchele wa 2000/=
Soda 3000/=
Nyama 5000/=
Fedha hizi zitatumika kununua...
