Msimu wa besidei ya Jizazi umekaribia na umekuja na vitimbwi vyake. Katika pita pita zangu nilikutana na familia moja ikijiandaa na besidei hiyo.
Mke: Mume wangu, Kristimasi inakuja; umepanga kuninunulia zawadi gani?
Mume: Sasa mke wangu, besidei ni ya Jizazi; inakuhusu nini wewe?





