Ukiwa jeuri, kuna jeuri zaidi yako. Juzi nilikuwa kwenye daladala natokea Kariakoo naelekea Ubungo. Tulipofika Manzese konda akauliza,
Konda: Kuna mtu ana shuka?
Dada mmoja akajibu,
Dada: Tumeziacha nyumbani, tuna mitandio tu!
Kufika mbele yule dada aliyeleta nyodo akawa anataka kushuka Ubungo Maziwa, akamwambia konda,
Dada: Konda, nashuka maziwa!
Konda: Kayanunulie sidiria yasishuke!
**********




Hahaha tehe tehe tehe anam2kana mamba wakat hajavuka mto…..loz
Hahaha tehe tehe tehe anam2kana mamba wakat hajavuka mto…..loz
Hahaha tehe tehe tehe anam2kana mamba wakat hajavuka mto…..loz
Jeuri
Jeuri
Jeuri
ha haaaaah,,,!
ha haaaaah,,,!
ha haaaaah,,,!
Wasichana wa cku izi much know sana
Wasichana wa cku izi much know sana
Wasichana wa cku izi much know sana
Hahahaha iyo kal jeur yote ilimuisha
Hahahaha iyo kal jeur yote ilimuisha
Duh jeur yote kush nei..
Comments are closed.