Home Video Mungu Hajalala, Ukimchezea Atakuumbua! Mchungaji ‘Kiwembe’ Yamkuta! | Angalia Video Yake

Mungu Hajalala, Ukimchezea Atakuumbua! Mchungaji ‘Kiwembe’ Yamkuta! | Angalia Video Yake

520
0

ndoa-yavunjika-kanisani-kabla-ya-kufungwa
Mchungaji na mkewe mtarajiwa dakika chache kabla ya ndoa yao kuingia dosari.

Hili  ni  tukio  la  kusikitisha na kufedhehesha zaidi kuwahi kulisikia lakini  lenye  mafunzo  kibao  ndani  yake.  Tukio  hilo  lilitoke  mwanzoni  mwa  mwezi wa  nane  mwaka  huu ndani  ya  kanisa mojawapo la Pentekoste  nchini  Kenya  ambapo  wanandoa  wawili    walikuwa  wakila  kiapo  cha  maisha  mbele  ya  mchungaji  wa  kanisa hilo. Jambo la kufedhehesha zaidi ni kwamba yule mwanaume aliyekuwa anaoa yaani bwana harusi na yeye ni mchungaji katika kanisa hilo.Hakika hii ni vunjambavu……….


Dakika  chache  kabla  ya  wanandoa  hao  kuapishwa  na  kuruhusiwa  kuvishana  pete, Mchungaji  wa  kanisa  hilo   aliwauliza  waumini  kama  kuna  yeyote  mwenye  pingamizi  la  kufungwa  kwa  ndoa  ya  wapenzi  hao jambo ambalo hufanywa na wachungaji wengi kwa mujibu wa taratibu za ndoa za kikristo!

Baada  ya  swali  hilo, mwanamke  mmoja  alisimama  na  kuelekea  mbele  ya  kanisa  hilo  huku  akiwa  na  vyeti  mkononi. Alipomkaribia  mchungaji, mwanamke  huyo  alipaaza sauti  yake  na  kusema  kuwa  ndoa  hiyo  haistahili  kufungwa  kwa  sababu  yeye  na  bwana  harusi  wana mtoto  waliyemzaa  pamoja  na  kwamba  walikuwa  na  mipango  ya  kuoana! Huo ndiyo ukwa mwanzo wa sakata hilo la kusisimua!

UNATAKA KUJUA KILICHOTOKEA BAADA YA HAPO?

ANGALIA VIDEO YAKE HII HAPA!!!!!!!!!!!!!!!!!!


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here