Home Vichekesho Watoto Wa Siku Hizi Ni Shidaaaaaaaaaa!

Watoto Wa Siku Hizi Ni Shidaaaaaaaaaa!

573
0

zogo

Watoto Wa Siku Hizi Ni Shidaaaaaaaaaa!

Mwalimu mmoja aliingia darasani na akauliza swali darasani. Swali hili liliwataka wanafunzi wataje kazi za wazazi wao:

TINA: Miimi baba yangu mfanyabiashara na mama yangu mwalimu.

MWALIMU: Safi, haya Juma zamu yako!

JUMA: Baba yangu dereva mama yangu hafanyi kazi.

MWALIMU: Vizuri, haya Zogo.

ZOGO: Mimi mama yangu malaya anajiuza baba simjui.

MWALIMU: Pumbavu wewe, nenda ofisini kwa mwalimu mkuu ukamweleze upuuzi wote uliosema hapa.

Zogo akaondoka na kuelekea  ofisini kwa mwalimu mkuu. Baada ya dakika chache zogo akawa anarudi huku anatabasamu na anakula biskuti.

MWALIMU: Mwalimu mkuu kakupa adhabu gani?

ZOGO: Kaniambia nimpe namba ya mama…

?????????

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here