Nani asiyejua walimu wana mgomo baridi? Kisa nini? Maslahi duni! Lakini hili sidhani kama linawahusu! Mkasa huu ulitokea maeneo ya Mbagala kwenye shule moja mpya ya kata. Mwalimu alikuwa darasani akifundisha somo la Civics wazaramo wanaita Uraia kwa wanafunzi wa kidato cha pili!
Katika pilika zake, mwalimu aliwasilisha mada iliyokuwa inahusisha mambo ya familia. Kama hukukimbia Umande unaweza ukawa unaikumbuka. Sekeseke zima lilikuwa kama ifuatavyo,
Mwalimu: Klasi, Wati izi Famili? (Wanafunzi wakajibu kwa pamoja!)
Wanafunzi: Famili izi mediketedi sopu!
Mwalimu: Gudiiii! Kitaeleweka tu mwaka huu na hivi wameniongezea 40!
Unachezea Dotikomu weweeeee!
**********




Kucheka na kulia zote ni kelele.
Teh teh teh tutafika tu mpaka student wote wawe mazombi!