Home Vichekesho Vitz Yenye Matairi Mawili Chakavu

Vitz Yenye Matairi Mawili Chakavu

347
0

Jamaa mmoja hakufunga zipu ya suruali yake na kwa bahati mbaya eneo alilokuwepo kulikuwa na mwanamke karibu yake. Mwanamke yule aliona tukio hilo na akaamua kutumia tafsida kumtahadharisha jamaa:

Mwanamke: Mlango wa gereji yako uko wazi.

Jamaa:(Huku anachekacheka) Umeona Range Rover Sport langu lilivyoegeshwa?

Mwanamke: Hapana, nimeona Toyota Vitz yenye matairi mawili chakavu sana!

Acha Ujivuni!!!!!!!!!!!!!!

**********


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here