Kumekuwako minong’ono ya hapa na pale kwamba kuna watu hufanya biashara chafu sana ya kutumikisha wanawake na wanyama na kuwafanyisha ngono kwa ujira fulani. Watu ambao wanaaminika kufanya biashara hii huwa ni wafugaji wa mbwa na huamini wanawapa furaha mbwa wao! Nimewahi kusikia mikasa kama hii mara kadhaa sasa kwamba kuna watu hulipwa mpaka dola 300 kwa siku iwapo watakubali kulala na mbwa wa matajiri kadhaa nchini hasa wenye asili ya kigeni. Ni nadra sana jambo hili kufanywa na Watanzania lakini wageni wengi wana hulka hiyo!
Siku za hivi karibuni tulisikia nchini Kenya kwamba kuna mzungu mmoja alikamatwa akitengeneza filamu ambayo ilihusisha mabinti wa Kikenya na mbwa. Jambo hili linasikitisha sana hata kulisimulia lakini huwezi kuziba macho au masikio kwa sababu matukio haya hutokea katika jamii zetu. Swali la msingi ni kwamba, je ni kweli haya yanafanyika kwa ajili ya pesa tu au kuna jambo jingine nyuma ya pazia? Iwapo jamii itakuwa imestaarabika unadhani jambo hili ni rahisi kuwarubuni wanawake wa jamii hiyo? Au waendesha miradi hii huangalia jamii ambazo zina mazingira duni na uelewa mdogo ili kuzirubuni? Kila mtu anaweza kuwa na majibu yake sahihi.
Leo hii nitakuonyesha video moja na inawezekana usiipende sana lakini hii ndiyo dunia tunayoishi sasa. Tahadhari kubwa, video hii haifai kuangaliwa na watu wote walio chini ya umri wa miaka 18. Zingatia tahadhari hii!
Bofya Hapa Kupakua Video Hii Na Kuangalia
