Home Vichekesho Pesa Tamu, Mke Mtamu Pia, Chagua Moja!

Pesa Tamu, Mke Mtamu Pia, Chagua Moja!

1142
0

Unalifahamu kabila moja hivi ambalo wakiona pesa wanachanganyikiwa? Nafikiri ushanisoma! Tangu kitambo sana Kimaro alikuwa anamfukuzia sana Manka. Ikafikia hatua Kimaro akawa anatafuta kila kona ya kuahkikisha anamgonga Kanka! Kimaro na Manka walikuwa wanafanya kazi ofisi moja hivyo mara nyingi walikuwa wanaonana.

Siku moja Kimaro akambana Manka ofisini ili amgonge lakini Manka akawa hataki. Kimaro akamwambia atafanya fasta! na ataweka 10,000 chini akimaliza tu kuokota Kimaro atakuwa amemaliza. Manka ikabidi ampigie simu boyfriend wake Chuwa kuomba  ushauri . Na mazungumzo yao yalikuwa hivi;


Chuwa: USIACHE HELA Manka! mwambie atoe 30,000 kisha okota fasta kabla hajavua.

Chuwa akasubiri dakika 45 kimya, Saa kimya pia!, akaamua kumpigia Manka simu.

Manka: Ndio kwanza nipo katikati kwani Kimaro kaweka 30,000 lakini mia mia tupu!

CHUWA: Kwahiyo amekuvua nguo????

MANKA: Ndio na anakaribia bao la 4 sasa.

CHUWA: Ayaa…! Weweee…!!

**********


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here