Home Jamii Ni Hatari Sana Kutembea Na Wake Za Watu!

Ni Hatari Sana Kutembea Na Wake Za Watu!

439
7

Katika kile kinachodaiwa ni tiba dhidi ya wake za watu na ubakaji kwa mabinti wadogo nchini Nigeria, wana jamii wa nchi hiyo wamegundua tiba mbadala ya kukomesha tatizo hilo.Tiba hiyo ambayo ukitibiwa lazima kila mtu ajue kwamba wewe ni mwizi wa aidha mke wa mtu au mtoto wake imekuja na matokeo makubwa ya kutisha!

Kumekuwako baadhi ya picha zinazoonyesha namna tatizo hilo linavyoshughulikiwa nchini Nigeria yaani kwa njia za kishirikina hii kutokana na ubunifu wa wanadamu katika kuibiana. Aidha takwimwi zinaonyesha kwamba tatizo la wanandoa kuwa na wapenzi wengine nje ya ndoa limekuwa likiongezeka kwa kasi kubwa sana na sasa imekuwa kama ni utamaduni vile. Ni jambo la kawaida mke kuwa na vidumu vyake kadhaa hali kadhalika mume kuwa na nyumba ndogo za kutosha!


Hakuna sababu za kisayansi zinazothibitisha sababu ya watu kuamua kuzini na kufanya ngono na watu ambao sio wapenzi wao kuongezeka kwa kasi katika miaka ya hivi karibu ila jamii lazima ikubali kwamba tatizo hilo lipo tena kwa kiasi kikubwa sana! Zifuatazo ni baadhi ya picha zinazoonyesha madhara ya tiba hiyo mbadala inayotumika nchini Nigeria. Chunga sana kijana, mke wa mtu ni sumu! Hasa wewe uliyepo hapa facebook mnachat chemba na wake za watu hadi mwawavua nguo! Ipo siku itakula kwako!

Haya Siyo Mabusha!Samahani Kwa Picha Mbaya

Nigeria 1

Hili Siyo Busha

Nigeria 3 Haya Ni Majanga Tupu

Nigeria 4


cr image

7 COMMENTS

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here