Baada ya aliyekuwa Rais wa Misri Osin Mbaraka kung’olewa madarakani na vuguvugu la nchi za kiarabu na mabadiliko ya kidemokrasia, mzimu wake umeendelea kuitafuna Misri. Baada ya Osin kung’olewa madarakani, Misri ilijipatia Rais kwa njia ya uchaguzi ambaye hajadumu katika kiti hicho kabla ya kung’olewa hivi karibuni.
Ukubwa wa tatizo umekuja pale Wamisri walipoamua kuchinjana kutokana na wafuasi wa Mohamed Morsy ambaye ameondolewa madarakani mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Misri
Hizi ni picha za mauaji yaliyotokea hivi punde huko Misri ambapo mpaka sasa, watu 42 wameuawa katika machafuko hayo.





