Nyani ni viumbe ambao wanafanana sana na wanadamu. Viumbe hawa hufanana kwa maumbile kwa asilimia kubwa na kasoro yao kubwa ni mkia na manyoya. Wataalam wakati fulani husema hata mafuvu yao wakati fulani yanahitaji ujuzi kuyatofautisha.
Aidha ukipata bahati ya kuwaona wanyama katika maisha yao ya kawaida kuna mengi unaweza kushangazwa nayo. Angalia hii video halafu utoe tafsiri ya kile ambacho unakifikiri.

