Nianze kwa kuuliza swali, je, mkeo ana thamani kiasi gani? Kuna jamaa ni bingwa wa kufanya tafiti za mambo ya kijamii yanayohusiana na mahusiano. Alitaka kujua kama fedha ina nguvu kuliko penzi tena penzi la ndoa. Utafiti huu unanikumbusha filamu moja inaitwa “Indecent Proposal” (1994) . Je, wewe uko tayari kumwuza mkeo kwa usiku mmoja tu kwa ajili ya shilingi Milioni 220? Angalia video hii halafu utanijibu baadaye. Ukiipenda wasambazie wanaume wote waliooa unaowafahamu!
Video Ya Kwanza( Inaendelea….)
Video Ya Pili

