Inasemekana mapenzi huota kama majani, yanaota popote na anayeyapanda hajulikani. Yawezekana hili likawa niladhihirishwa na tukio hili la hawa watoto! Swali la msingi ni je, wanastahili kufanya hivi wakati huu wakiwa wadogo namna hii ? Majibu kaa nayo mwenyewe!


