Home Picha Duh! Ikulu Imepambika; Karibu Obama, Karibu Tanzania!

Duh! Ikulu Imepambika; Karibu Obama, Karibu Tanzania!

343
0

Ujio wa Rais Obama nchini Tanzania umekuwa gumzo na ulifanya watu wengi kupagawa kwani kila mmoja alikuwa na hamu sana ya kumwona. Mambo mengi yaliwekwa sawa ikiwa ni pamoja na usafi wa jiji, kuondolewa na machinga mabarabarani na mengineyo mengi mazuri. Hakika Ikulu ilipambwa ikapambika ili mgeni aje aione Tanzania inayopendeza.


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here