Wahenga wasema, dawa ya moto ni moto! Inawezekana ni kweli. Ukiachana na familia za Kiswahili, familia za wenzetu wale wa upande wa pili zipo huru kidogo. Mtoto anaweza kumwuliza mzazi wake jambo lolote lile ilimradi asijifunze kwa njia mbaya!
Siku moja familia moja ya kizungu yenye watoto wawili, mmoja wa kike na mwingine wa kiume ilijumuika pamoja kwa ajili ya chakula cha usiku. Wakati shughuli ya kupata mlo ikiendelea yule mtoto wa kiume akamwuliza swali baba yake!
Mtoto wa Kiume: Hivi baba!
Baba: Naam.
Mtoto wa Kiume: Ni matiti ya aina gani ni mazuri akiwa nayo mwanamke?
Wazazi wote wakashtuka na wakaangaliana usoni. Hakika yule baba hakuwa na jibu sahihi sana japo mkewe akamkonyeza akimtaka ajibu tu!
Baba: Unajua mwanangu, yapo matiti ya aina tatu!
Mtoto wa Kiume: Nitajie baba!
Baba: Aina ya kwanza anakuwa nayo mwanammke mwenye umri wa miaka 20, huwa yanakuwa ya duara, mazuri na yaliyojaa kama matikiti maji. Aina ya pili huwa ni yale wanayokuwa nayo wanawake wenye umri kati ya miaka 30 na 40. Huwa ni mazuri pia na huwa yanabembea kidogo na hufanana na ‘mapeazi’! Aina ya tatu huwa wanakuwa nayo wanawake wakifikisha zaidi ya miaka 50. Haya huwa yanakuwa kama vitunguu!
Mtoto wa Kiume: Vitunguu!!!!!?
Baba: Ndiyo mwanangu, ni kama vitunguu maana ukiyaangalia tu machozi yanakutoka!
Kauli hiyo ya yule baba ilimkera sana mkewe na binti yake. Yule binti kwa hasira akaamua kuanzisha ligi:
Mtoto wa Kike: Eti mama, hivi kuna mboo za aina ngapi? (Acha kutoa macho mboo si matusi ni jina la kiungo cha mwili)
Mama: Mwanangu kuna mboo za aina tatu, aina ya kwanza huwa wanakuwa nazo wanaume wenye miaka 20. Huwa zinakuwa kama mti wa mwaloni, imara na ngumu. Aina ya pili huwa wanazo wanaume wenye umri kati ya miaka 30 na 40, huwa ni laini laini kama matete japo zinafaa na aina ya tatu huwa wanakuwa nazo wanaume wenye umri wa miaka 50 na kuendelea. Hizi huwa zinakuwa kama mti wa mkrismasi uliopambwa!
Mtoto wa Kike: Mti wa Mkrismasi!!!!?
Mama: Ndiyo mwanangu, unakuwa umekufa kutoka chini mpaka juu na zile kengele zinakuwepo kama urembo tu!
**********




Nkt?