Home Vichekesho Bado Dakika 20 Tu

Bado Dakika 20 Tu

440
0

Baunsa mmoja alikuwa kapumzika sehemu  sehemu anakula upepo na ghafla dogo mmoja akamfuata. Huku akionyesha kujiamini yule dogo akamvagaa yule baunsa!

DOGO: Oyaa bro saa ngapi?

BAUNSA:Hebu ondoka usinisumbue!

DOGO: Siondoki mpaka uniambie sasa hivi ni saa ngapi!

BAUNSA: (Kwa hasira) Saa nane na nusu

DOGO: Poa ikifika saa 9 nakuja kukushika tako!

BAUNSA: Unasemaje wewe mjinga hunijuii? (Akaanza kumfukuza, dogo akakimbilia nyumba jirani, Baunsa kamkuta mzee nje ya ile nyumba!)

BAUNSA: Kuna dogo kaingia humu ndani namtaka!

MZEE: Ndio nimemuona, Ni mjukuu wangu, kafanya nini?

BAUNSA: Aaaaha! Kanambia eti ikifika saa tisa atakuja kunishika tako

MZEE:Sasa haraka ya nini? Vumilia kidogo, Bado dakika 20 tu !

**********


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here