vunjambavu
Nimejaliwa Mtoto Mwema Sana
Kuna jamaa alikaa muda mrefu sana bila kupata mtoto. Akiwa anakaribia kufikisha miaka 45, jamaa alibahatika kupata mtoto wa kiume! jambo hilo lilimpa furaha...
Habari Nzuri Na Mbaya
Mgonjwa mmoja alimpigia simu daktari wake kumwuliza matokeo ya vipimo alivyokuwa amevipeleka jana yake kwa ajili ya kuijua afya yake iliyokuwa inatetereka. Kama unavyojua,...
Viboko Kwa Wanafunzi Ni Jambo La Lazima | Ona hii
Mwanafunzi mmoja alikuwa anatafuta namna ya kukwepa adhabu ya kutokufanya zoezi la fizikia ambalo mwali wake alilitoa darasani na mazungumuzo yao yalikuwa hivi;
Mwanafunzi: Eti,...
Kufanikiwa Ni Mapambano | Joyce Kiria Alikuwa ‘Beki Tatu’
Je! Wajua kuwa mtangazaji maarufu wa TV nchini Joyce Kiria aliwahi kuwa mfanyakazi wa ndani jijini Dar es Salaam?
Mtangazaji huyo mrembo wa kipindi cha...
Sokwe Anayezungumuza | Unashangaa Huyu Hapa
Inawezekana likawa ni jambo la ajabu sana kulishuhudia lakini Sokwe huyu hayuko mbali. yuko Rwanda tu hapo. Je, unaijua hiyo?
Peruzi hapo chini kuangalia video...
Harusi Ya Diamond Kama Shoo Vile! | Uje Na Msimbazi Leaders...
Siyo siri kwamba wapenzi wasio na kificho, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Penny Mungilwa wana malengo ya kuja kuishi kama mke na mume lakini maajabu...
Jifunze Kushona Na Kufuma ‘Vitimoto’!!!
Kazi za mikono ni moja ya kazi ambazo huuzwa aghali sana kama vile kuchora, kufuma, kushona, kuchonga, kufinyanga, uhunzi, ufundi samani na nyinginezo nyingi...
Matokeo Ya Machinga Wa Kichina Kariakoo Baada Ya Miaka 25
Ongezeko la wachina K/Koo ambao ni wamachinga litasababisha kuongezeka kwa machotara kedekede baada ya miaka 25, nahisi majina yatakuwa kama ifuatavyo.
1.Masawe ji sung
2.Donggwakisa shunhui
3.Hua...
Baikoko Wanavyomwaga Radhi Tanga
Hizi ni baadhi ya picha za kundi la wacheza uchi / nusu uchi maarufu kwa jina la Baikoko lenye maskani yake Tanga…
//
//
