Home Video Wema Binti Sepetu Anakuja Na ‘Reality Show’ | Hiki Ni Kionjo Chake

Wema Binti Sepetu Anakuja Na ‘Reality Show’ | Hiki Ni Kionjo Chake

322
0

Mwana dada nguri ambaye huwa hamalizi mwezi bila kutokea kwenye vyombo vya habari kaamua kusimamisha maisha yake na kujikita katika utengenezaji wa kipindi cha runinga. Tetesi zinasema Wema Binti Sepetu anakuja na bonge la ‘shoo’ kuhusu yeye! Aidha shoo hii ipo jikoni na wakati wowote itawekwa mezani.


Kufuatia mafanikio makubwa ya shoo ya Planet Bongo na Mkasi za Salama Jabir, mwana dada Wema anajitokeza kuweka upinzani! Ukweli ni kwamba vituo vya Runinga vya Kitanzania bado havina vipindi vya kutosha na sababu kubwa watu wamekuwa wanaogopa kuwekeza katika uandaaji wa vipindi kwa kukwepa gharama! Mbali na Mkasi, pengine watazamaji wataongeza fursa ya kuangalia vipindi vya Runinga kikiwemo cha Wema!

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here