Home Jamii Inakuhusu Sana | Mtalipa Kodi Hadi Mnapokanyaga, Kila Kadi Kupigwa Kodi ya...

Inakuhusu Sana | Mtalipa Kodi Hadi Mnapokanyaga, Kila Kadi Kupigwa Kodi ya 1000/= Kwa Mwezi

421
0

Katika kile kinachoitwa Tanzania kuongeza vyanzo vya mapato baada ya kupungukiwa pesa za kutumbua, serikali imeadhimia kila kadi au laini ya simu itatakiwa kulipa kodi ya shilingi 1000/- kwa mwezi. Hii ina maana kwa wale wenzangu na mimi wenye TTCL, Sasatel, Airtel, Vodacom na Tigo kwenye viganja vyao kama wauza madini wajiandae kukatwa shilingi elfu 5,000/= kwa mwezi!


Kodi ya Tshs 1000/= kwa mwezi kwa kila kadi (laini) ya simu uliyonayo imepitishwa na Bunge na imeanza rasmi. Hailipwi na kampuni ya simu, inalipwa na wewe mwenye simu. Kampuni ya simu inakusanya Kwa niaba ya serikali.

Mabingwa wa kukwepa kodi, kazi kwenu!

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here