Jaji Mark Bomani
Kutokana na sekeseke la Muungano na serikali tatu katika katiba mpya ambalo limekuwa ni gumzo kubwa miongoni mwa Watanzania, Jaji Mark Bomani amefunguka! Ameainisha moja kwa moja kuwa katiba inatakiwa izungumuze suala la serikali tatu. Aidha Jaji Bomani alisisitiza umhimu wa kutambua uwepo wa nchi ya zanzibar hivyo suala la Zanzibar kuwa nchi haliwezi kupuuzwa.
Kupata undani wa maneno yake alipokuwa akiwahutubia Wazanzibar, fuatilia video hii.
