Unadhani Wewe Umekua Mkubwa?
Dogo mmoja alimwuliza mama yake swali ambalo lilikuwa linamsumbua sana kutokana na mazingira ya geti kali kuwa magumu sana kwa dogo.
Dogo: Hivi Mama nikifikia umri gani ndio nitakuwa mkubwa, nitaanza kuwa huru, naenda ninapotaka na kufanya ninachotaka na ninarudi muda ninaotaka na wewe mama huniulizi kitu?
Mama: Baba’ko mwenyewe hajafikia umri huo…!!!!




