Home Siasa Duh! Inakuwaje Hii?? SiasaVioja Duh! Inakuwaje Hii?? By vunjambavu - December 17, 2015 441 0 Facebook Twitter Pinterest WhatsApp Tanzania imekuwa ikizidi kuweka historia kwa kuchagua viongozi ambao hawajui kusoma vema na kuandika. Swali la msingi ni kuwa, hali hii inakuwaje mpaka mtu anapenya na kuwa kiongozi hali hajui kusoma na kuandika vizuri? Ni Changamoto sana! Ona Hii http://www.vunjambavu.com/wp-content/uploads/2015/12/Imma-Leonard.mp4