Moja ya kipande cha filamu za Kiafrika
Si jambo la ajabu kwa baadhi ya wanaume kuwazuia wake au wapenzi zao kuigiza filamu za Kitanzania kutokana na uhaba wa maarifa katika kutengeneza vipande vya picha ambavyo ni vigumu sana!Udhifu wa maarifa katika uigizaji huwa unafanya uigizaji wa filamu za kiafrika kuwa mgumu sana.
Kuna matukio ambayo huwa si halisi lakini kutokana na maarifa makubwa unaweza kuyafanya yaonekane ni halisi. Kwa mfano ukiangalia Behind The Scene ya sinema nyingi za Hollywood utaona matukio kama ya kufanya mapenzi na kubusiana si halisi. Maarifa hutumika kuchanganya picha na kutoa tukio halisi lakini katika filamu zatu za kiafrika matukio haya huwa ni karibu na ukweli kutokea kutokana na uhaba wa maarifa na mbinu za kutengeneza vipande kama hivyo
Je, kama mwigizaji anayepewa kuigiza kipande hiki akiwa kama mkeo au mmeo utajisikiaje ukiambiwa ” Hiyo ni kazi tu! Angalia video hii utajua nina maana gani!
Bofya Hapo Chini Kuangalia
