Home Vichekesho Ushuhuda Kanisani

Ushuhuda Kanisani

995
1

Sijui kama wewe huwa unapata taabu unaposhuhudia shuhuda nyingine makanisani ambazo zina utata wa wazi kabisa. Hii ilitokea katika kanisa moja huko Mbeya ambako mtoto mmoja wa mchungaji aliamua kwenda mbele ya kanisa kushuhudia ukuu wa Muumbaji. Katikati ya mkutano wa watu wengi waliokuwa wamehudhuria ibada, binti huyo ambaye ni mtoto wa mchungaji wa kanisa husika alianza kwa kibwagizo;


Binti:  Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa x3

Waumini: Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen x3

Binti: Nipo hapa mbele kumshuhudia mungu kwa uponyaji wake!

Waumini: Halelluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa…!

Binti: Nilikuwa na ugonjwa wa kutoka damu sehemu zangu za siri kila mwezi, ugonjwa huu umenisumbua sanaaaaaa. Lakini tangu nimeanza kwenda kwa kaka Erick usiku, ni mwezi wa tatu ugonjwa umepona kabisa! Haleluyaaaaaaaaaaaaa…..!

Waumini: Aaaaaaaaaha! Mimbaaaaaaaa hiyoooooooooooooooooooooooooo……!

**********

1 COMMENT

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here