Home Jamii Eti Makampuni Ya Simu Yanatuibia!? | Sikiliza Mwenyewe

Eti Makampuni Ya Simu Yanatuibia!? | Sikiliza Mwenyewe

328
0

Mara kadha wa kadha nimekuwa nikisikia watu wanalalamika kwamba wanaibiwa pesa zao kwenye simu mara vile mara hivi na kila aina ya malalamiko. Inawezekana na wewe umewahi kukubwa na hilo na ukakosa pa kulalamikia. Sina hakina na hilo kwa sababu mambo mengi yanayotokea katika makampuni ya simu ni siri zao na hakuna vitu vya kuwafanya watumiaji wa simu kukagua viwango halisi vya gharama zinazotumika hivyo ikitokea wakatuchakachua si rahisi sana kutambu.


Mfano mzuri ni pale serikali inapopandisha kodi kwa makampuni ya simu, na yenyewe yanaongeza matozo kwa watumiaji wa simu. Kuna huduma kama Kabang na extreme za makampuni mengi zimepanda bila maelezo hivi karibuni mara baada ya serikali kuongeza kodi.  Huyu bwana kaonyesha ukomavu na kaamua kupigania kabisa haki yake. Je, ungependa kumsikia?


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here