Dogo mmoja aliibiwa baiskeli yake katika mazingira ya kutatanisha sana. Baada ya tukio hilo, dogo aliamua kwenda kushtaki polisi na kutoa ripoti ya kuibiwa baiskeli yake.
Polisi: Nikusaidie nini dogo?
Dogo: Nimekuja kutoa taarifa ya kuibiwa baiskeli yangu!
Polisi: Unahisi nani atakuwa kakuibia?
Dogo: Nahisi baba au mama!
polisi: Kwa nini?
Dogo: Kwa sababu walipoingia chumbani kulala nilisikia baba akimwambia mama ”PANDA JUU IMESIMAMA!”, sasa walikuwa wanapanda nini kama sio baiskeli yangu!! Ndo maana nimekuja mbio kushtaki!!




