Home Vichekesho Zuzu Apiga Simu Huduma Kwa Wateja

Zuzu Apiga Simu Huduma Kwa Wateja

736
0

Zuzu mmoja ambaye jina lake halijapatikana bado alitoa kali ya mwaka pale alipotumia dakika kadhaa kumtafuta mhudumu wa wateja wa mtandao wa simu anayotumi(Mtandao tumeuweka kapuni)! Zuzu huyo ambaye alionyesha kuwa na shauku kubwa ya kuongea na mmoja wa wahudumu wa huduma kwa wateja; ilimchukua dakika kadha wa kadha kupata laini!


Baada ya kupata laini mazungumuzo yao yalikuwa hivi:

Zuzu: Hallooooo

Mhudumu: Hallo, naitwa Zakia huduma kwa wateja, unaitwa nani?

Zuzu: Jina langu si mhimu niulize nina shida gani!

Mhudumu: Nikusaidie nini kaka yangu?

Zuzu: Ushaanza kuleta undugu sio? Mimi sio kaka yako kwanza una sauti nzuri, umeolewa?

Mhudumu: Hapana, naomba nikusadie tafadhari.

Zuzu: Nina shida kubwa moja, nimeitafuta sana namba yangu ya simu sijaiona. Naomba unitumie namba yangu ya simu ili nijipigie nina shida zangu binafsi.

**********

StrawberryNET Cosmetics
on118nswkqo9HCCJFCB9BAEECGFD


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here