Home Siasa Ziara Ya Obama Kwa Madiba Yatiwa Dosari

Ziara Ya Obama Kwa Madiba Yatiwa Dosari

451
0

Waandamaji wa Nchini Afrika Kusini wakiwa wanasali mbele ya Ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano ya kupinga kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo jana wakati Raisi Obama alipotua Nchini Humo Kwa Ziara ya Siku 2

WAKATI Rais wa Marekani Barack Obama akianza ziara yake nchini Afrika Kusini,baada ya kutoka Senegal kabla ya kufika nchini Tanzania,wananchi wa Afrika Kusini jana walimpokea Rais huyo kwa maandamano na mabango.


Maandamano hayo ya amani yaliandaliwa na kikundi cha waumini wa dini ya Kiislamu nchini humo na kuishia katika ofisi za Ubaloziwa Marekani, mada kubwa katika mabango yaliyokuwa yamebebwa na waandamanaji hao ni kuhusu mauaji na vita vilivyo endeshwa na Marekani katika baadhi ya nchi za Kiislamu.

Kwa Maelezo Na Picha Zaidi Bofya Hapo Chini

Ziara Ya Obama Yaingia Dosari Kwa Madiba

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here