Home Vichekesho Viboko Kwa Wanafunzi Ni Jambo La Lazima | Ona hii

Viboko Kwa Wanafunzi Ni Jambo La Lazima | Ona hii

450
0

Mwanafunzi mmoja alikuwa anatafuta namna ya kukwepa adhabu ya kutokufanya zoezi la fizikia ambalo mwali wake alilitoa darasani na mazungumuzo yao yalikuwa hivi;

Mwanafunzi: Eti, mwalimu?

Mwalimu: Unasemaje?

Mwanafunzi: Unaweza kuniadhibu kwa jambo ambalo sijalifanya?

Mwalimu: Hapana.

Mwanafunzi:  Vizuri mwalimu, kwani sijafanya lile zoezi lako la jana!

**********