Mwanadada Rita
Ni kweli kwamba kuna tofauti kubwa sana ya kimaumbile baina ya mwanamke na mwanaume. Maumbile yanampendelea mwanaume kufanya shughuli nyingi zaidi ngumu.Katika mazingira ya kawaida, mwanamke ni mtu wa kazi laini laini tu na ni nadra sana kuona mwanamke anafanya kazi ngumu na za hatari.
Licha ya kuwepo shughuli nyingi ngumu ila masumbwi ni kazi ambayo hata wanaume wengi huogopa kuifanya. Ndio, suala la kutandikana makonde si jambo la kitoto. Mwana dada Rita kutoka kwa Madiba, anacheza masumbwi na anafanya vizuri sana kwani licha ya kukosa upinzani, anashikilia taji alilotwaa mara mbili la uazito wa kati!
Angalia video zake!
Sehemu Ya Kwanza
Sehemu Ya Pili
Sehemu Ya Tatu

